Siku moja tu baada ya kuimarisha umaarufu wake kwa kujishindia mataji mawili ya tuzo za Afrimma mwanamuziki wa Bongo fleva Diamond Platinumz anaendelea kuvutia mashabiki wapya kila uchao. Alishangazwa ...
Mavoice ni kijana chipukizi kwenye tasnia ya Muziki wa Bongo Fleva anaefanya vizuri na nyimbo zake, juma hili ametembelea studio za RFI Kiswahili jijini Dar es Salaam, unaweza pia kumfollow mtangazaji ...